dual citizenship

Pemba Paradise

Zanzibar Diaspora

Mwanakwerekwe shops ad

ZanzibarNiKwetuStoreBanner

ZNK Patreon

Scrolling news

************ KARIBUNI..................Contact us for any breaking news or for any information at: znzkwetu@gmail.com. You can also fax us at: 1.801.289.7713......................KARIBUNI

Thursday, October 5, 2017

Hali ya kisiasa yaathiri uchumi Kenya!


Rais Uhuru Kenyatta na mpinzani wake Raila Odinga

Wasiwasi wa kisiasa nchini Kenya unapunguza ukuwaji katika sekta ya kibinafsi kufikia kiwango cha chini zaidi kuwahi kushuhudiwa kwa miaka mitatu.

Utafiti wa benki moja nchini unaonyesha kuwa wenye biashara wanaogopa kuwekeza huku wakisuburi matokeo ya marudio ya uchaguzi, na udhibiti wa viwango vya riba ukisababisha biashara nyingi kunyimwa mikopo.

Rais Uhure Kenyatta na kiongozi wa upinzani Raila Odinga wanatarajiwa kumenyana katika uchaguzi huo wa urais baadaye mwezi huu.

Bwana Odinga ametishia kutoshiriki .

/ BBC

No comments :

Post a Comment