Kwarara Msikitini

Dual Citizenship #2

Dual Citizenship #2

Pemba Paradise

Zanzibar Diaspora

ZanzibarNiKwetuStoreBanner

Mwanakwerekwe shops ad

ZNK Patreon

Scrolling news

************ KARIBUNI..................Contact us for any breaking news or for any information at: znzkwetu@gmail.com. You can also fax us at: 1.801.289.7713......................KARIBUNI

Sunday, November 19, 2017

Yanayojiri nchini Zimbabwe!

Baada ya jeshi kuchukua utawala nchini Zimbabwe,mkutano wa pili untarajia kufanyika kwa ajili ya kumshauri rais Robert  Mugabe kuyaachia madaraka.

Kwa mujibu wa habari,katika mkutano ujao padri wa Katoliki Fidelis Mukonor,Waziri wa Ulinzi Aaron Nhepera na msemaji wa Mugabe George Charamba watahudhuria.

Ripoti zimeonyesha kuwa wananchi wamekuwa wakikusanyika barabarani wakimtaka rais Mugabe ajiuzulu.

Toka Jumatano jeshi kuu la Zimbabwe limechukua utawala wa nchi hiyo mpaka pale hatma itakapojulikana.

No comments :

Post a Comment