Kituo Cha Haki za Binadamu Nchini LHRC, kimetoa tathimini ya uchaguzi mdogo wa majimbo mawili ya Siha na Kinondoni huku kikitaja kasoro na mapungufu yaliyojitokeza na kutoa ushauri kwa Tume ya Uchaguzi NEC, Vyama vya Siasa, Polisi na Wananchi ili kuhakikisha mapungufu hayo hayajitokezi katika chaguzi zijazo.
Hili blog ni kuhusu Tanzania na dunia nzima kwa ujumla. Pita kila siku kwa habari moto moto. (This blog is about Tanzania and the world as a whole. Pass-by everyday for breaking news). ***********************KARIBUNI NYOTE / YOU ARE ALL WELCOME!***********************
Subscribe to:
Post Comments
(
Atom
)
No comments :
Post a Comment