Kwarara Msikitini

Dual Citizenship #2

Dual Citizenship #2

Pemba Paradise

Zanzibar Diaspora

ZanzibarNiKwetuStoreBanner

Mwanakwerekwe shops ad

ZNK Patreon

Scrolling news

************ KARIBUNI..................Contact us for any breaking news or for any information at: znzkwetu@gmail.com. You can also fax us at: 1.801.289.7713......................KARIBUNI

Sunday, August 19, 2018

Dada wa Rais Magufuli afariki Dunia!

Dada wa Rais John Magufuli aitwaye Monica Maguli amefariki dunia asubuhi ya leo katika Hospitali ya Bugando jijini Mwanza alipokuwa amelazwa akipatiwa matibabu.

Ikumbukwe jana Rais Magufuli alimtembelea dada yake huyo katika hospitali hiyo , lakini taarifa ambayo imetolewa na Mkurugenzi wa Mawasiliano Ikulu, Gerson Msigwa leo imethibitisha kutokea kwa kifo hicho.

No comments :

Post a Comment