Kwarara Msikitini

Dual Citizenship #2

Dual Citizenship #2

Pemba Paradise

Zanzibar Diaspora

ZanzibarNiKwetuStoreBanner

Mwanakwerekwe shops ad

ZNK Patreon

Scrolling news

************ KARIBUNI..................Contact us for any breaking news or for any information at: znzkwetu@gmail.com. You can also fax us at: 1.801.289.7713......................KARIBUNI

Friday, September 21, 2018

Odinga atuma salamu za rambirambi kufuatia kuzama kwa MV Nyerere!

Kiongozi wa upinzani nchini Kenya, Waziri mkuu wa zamani Raila Odinga, ametuma salamu za rambirambi kwa walioathiriwa na mkasa wa kuzama kwa kivuko cha MV Nyerere.

Amesema anaombolewa na Watanzania kipindi hiki kigumu na kumuomba Mungu awape nguvu wote walioathiriwa, pamoja na raia wote wa Tanzania.

No comments :

Post a Comment