Wabunge wa nchi hiyo wamemchagua Mwanadiplomasia mahiri Sahle-Work Zewde kuwa Rais, Anakuwa Mwanamke wa kwanza kushika wadhifa huo katika Taifa la Ethiopia. Anachaguliwa ikiwa ni siku kadhaa tangu Waziri Mkuu wa Taifa hilo, Abiy Ahmed ateuwe Baraza la Mawaziri lenye nusu ya Wanawake. Wakati akihutubia Sahle Work amesisitiza kutunza amani ya nchi hiyo.
Hili blog ni kuhusu Tanzania na dunia nzima kwa ujumla. Pita kila siku kwa habari moto moto. (This blog is about Tanzania and the world as a whole. Pass-by everyday for breaking news). ***********************KARIBUNI NYOTE / YOU ARE ALL WELCOME!***********************
Subscribe to:
Post Comments
(
Atom
)

No comments :
Post a Comment