Gari lililomleta Mgombea wa Chama cha AAFP Bi. Amina Juma Abdallah likiwasili katika viwanja vya Ofisi za Tume ya Uchaguzi Maisara Zanzibar kwa ajili ya kuchukua Fomu za kuwania nafasi za Uchaguzi wa Jimbo la Jangombe Zanzibar, baada ya Mwakilishi wa Jimbo hilo kuvuliwa Uongozi na Chama Chake na Jimbo hilo kuwa wazi na kuitishwa Uchaguzi Mdogo kujaza nafasi hiyo.
Mgombea Uwakilishi wa Jimbo la Jangombe Bi. Amina Juma Abdallah akimsikiliza Msimamisi wa Uchaguzi Jimbo la Jangombe akitowa maelezi jinsi ya ujazaji wa Fomu ya kuwania Uwakilishi wa Jimbo la Jangombe Zanzibar,
Msimamizi wa Uchaguzi Jimbo la Jangombe Zanzibar Bi. Mwanapili Khamis Mohammed (kulia) akimkabidhi Fomu ya Kugombea Uwakilishi Jimbo la Jangombe Bi. Amina Juma Abdallah, hafla hiyo imefanyika katika Ofisi za Tume ya Uchaguzi Wilaya ya Mjini Maisara Zanzibar.
/ZanziNews
No comments :
Post a Comment