Kwarara Msikitini

Dual Citizenship #2

Dual Citizenship #2

Pemba Paradise

Zanzibar Diaspora

ZanzibarNiKwetuStoreBanner

Mwanakwerekwe shops ad

ZNK Patreon

Scrolling news

************ KARIBUNI..................Contact us for any breaking news or for any information at: znzkwetu@gmail.com. You can also fax us at: 1.801.289.7713......................KARIBUNI

Friday, October 26, 2018

Senata Bernie Sanders aitaka Marekani kuacha kuiunga mkono Saudia!

Seneta Bernie Sanders atolea wito Marekani kuacha kuiunga mkono Saudia kwa kukiuka haki za binadamu Yemen

Seneta Bernie Sanders asema kuwa Marekani inatakiwa kuacha kuinga mkono Saudia kutokana na kukiuka haki za bianadamu nchini Yemen.

Akizungumza kuhusu mauaji ya mwanahabari Jamal Khashoggi , Bernie ametolea wito Marekani kuacha kuiunga mkono Saudia kwa kukiuka haki za binadamu katika vita vya Yemen.

Katika taarifa zilizochapishwa katika jarida la The New York Times, Bernie amenukuliwa akisema kuwa Saudia inatakiwa kufahamu kuwa haifumbiwi macho kwa ukiukwaji wake wa haki za binadamu nchini Yemen.

Kwa mujibu wa Sanders jambo la kwanza muhimu kuzuia ukiukwaji wa haki za binadamu Yemen ni Marekani kuacha kuiunga mkono Saudia.

No comments :

Post a Comment