AirFreight

Kwarara Msikitini

Dual Citizenship #2

Dual Citizenship #2

Pemba Paradise

Zanzibar Diaspora

ZanzibarNiKwetuStoreBanner

Mwanakwerekwe shops ad

ZNK Patreon

Scrolling news

************ KARIBUNI..................Contact us for any breaking news or for any information at: znzkwetu@gmail.com. You can also fax us at: 1.801.289.7713......................KARIBUNI

Friday, April 19, 2019

INASIKITISHA!!!!....HOSPITALI ZA MIKOANI HAZINA WORKING RELATIONSHIP NA MUHIMBILI??? MGONJWA KAMA HUYU MPAKA ATOKE KWENYE SOCIAL MEDIA NDIO ASAIDIWE? MINISTRY OF HEALTH IPO WAPI JAMANI???


"Asanteni sana kwa ku-share ujumbe wa yule mhitaji wa Singida mwenye kidonda mgongoni.

Hatimaye nimefanikiwa kumpata huyu dada, anaitwa Mariam Rajab (25), anatokea 
Singida Mjini, Mtaa wa Minga, Kata ya Mnung'una.

Atasafirishwa kesho kuja DSM kwa ajili ya kuanza matibabu Muhimbili.

Kwa wale walionijia inbox ili kutaka kumsaidia ningeshauri tusubiri kwanza aletwe Dar ndipo hayo yafuate,lakini sisi kama hospitali kwa upande wetu tutamtibu bure.

Asante kwa Msaada wenu.

Ni Mimi,
Aminiel Aligaesha
Mkuu wa Kitengo cha Mawasiliano,
Hospitali ya Taifa Muhimbili.
0786 648636
16.04.2019"

No comments :

Post a Comment