Kwarara Msikitini

Dual Citizenship #2

Dual Citizenship #2

Pemba Paradise

Zanzibar Diaspora

ZanzibarNiKwetuStoreBanner

Mwanakwerekwe shops ad

ZNK Patreon

Scrolling news

************ KARIBUNI..................Contact us for any breaking news or for any information at: znzkwetu@gmail.com. You can also fax us at: 1.801.289.7713......................KARIBUNI

Tuesday, August 6, 2019

CHAKUFANYA SIKU YA ARAFA!


CHAKUFANYA SIKU YA ARAFA  
1) lala mapema usiku wake
2) amka saa kumi na robo za alfajiri
*3)*swali rakaa 2 tahajjud na   rakaa moja witri na uombe wakati wa sijda
4) baadae fanya istighfaar mpaka karibu na swala ya fajri
5) Jiandae na swala ya fajri ikiwezekna tawadha  tena ili umwage dhambi kwa maji ya udhuu 
6) Soma dua baada ya kutawadha
7) swali rakaa 2 kabla ya fajri kwani mtume swalla Allahu aleyhi wassalam  asema hizo ni bora kuliko dunia na zilioko ndani ya dunia
Swali fajri na ubaki kwenye mswala mpaka usome dua z asubuhi alafu soma quran mpaka jua lichomoze
8) ikifika 6:35 am swali rakaa 2 za " ishraaq" ili upate thawabu za Hajj na Umrah 
10) lala kidogo angalau kwa jisaa moja  ili upate afiya ya kufanya ibada nyengine 
Ukiamka tawadha na uswali rakaa 2 za dhuha 
11) endelea kufanya dhikri , istighfaar na kusoma Qur'an
12) soma sana hii:  لا اله الا الله وحده لاشريك له ,له الملك وله الحمد وهو علي كل شيء قدير
13) swali dhuhri soma quran kidogo

14) swali asri soma adhkaar za jioni 
15) soma quran kabla ya adhaan ya maghrib na endelea kuomba dua na usiwasahau waislamu wenzio kwa dua 
16) muombe Allah jua la siku ya Arafah lisizame ila umeachwa huru na moto
17) ikiadhiniwa  maghrib futuru na usisahau dua kwa wingi kwani dua ya anaefunga hazirudishwi 
Ukiweza kuyafanya haya kwa masiku yote tisa ni bora zaidi maana thawabu zake ni nyingi mno!!!
وبا الله التوفيق   

https://lifeinsaudiarabia.net/blog/2017/08/24/5-virtues-of-the-day-of-arafah-every-muslim-should-know/

No comments :

Post a Comment