Idadi ya watu waliofariki kutokana na ajali ya moto wa lori la mafuta mkoani Morogoro imefikia 102 baada ya majeruhi mmoja aliyekuwa akipatiwa matibabu katika Hospitali ya Taifa Muhimbili (MNH) kufariki dunia Agosti 23, 2019.
"Katika majeruhi wa moto 13 waliobaki Muhimbili 7 wapo ICU, 6 wapo wodi ya kawaida, "amesema leo Mkuu wa Kitengo cha Mawasiliano Muhimbili, Aminieli Aligaesha.
"Katika majeruhi wa moto 13 waliobaki Muhimbili 7 wapo ICU, 6 wapo wodi ya kawaida, "amesema leo Mkuu wa Kitengo cha Mawasiliano Muhimbili, Aminieli Aligaesha.
No comments :
Post a Comment