Kwarara Msikitini

Dual Citizenship #2

Dual Citizenship #2

Pemba Paradise

Zanzibar Diaspora

ZanzibarNiKwetuStoreBanner

Mwanakwerekwe shops ad

ZNK Patreon

Scrolling news

************ KARIBUNI..................Contact us for any breaking news or for any information at: znzkwetu@gmail.com. You can also fax us at: 1.801.289.7713......................KARIBUNI

Monday, November 25, 2019

Mtanzania ateuliwa UN!


Mtanzania, Elizabeth Mrema, ameteuliwa kuwa Kaimu Katibu Mtendaji wa Sekretarieti inayosimamia Mkataba wa kimataifa wa Umoja wa Mataifa wa tofauti za kibiolojia (CBD).

Uteuzi huo umefanywa na Katibu Mkuu wa UN, António Guterres kufuatia kujiuzulu kwa Cristiana Palmer raia wa Romania kutokana na sababu za kiafya na utaanza rasmi Disemba 1, mwaka huu.


No comments :

Post a Comment