Kwarara Msikitini

Dual Citizenship #2

Dual Citizenship #2

Pemba Paradise

Zanzibar Diaspora

ZanzibarNiKwetuStoreBanner

Mwanakwerekwe shops ad

ZNK Patreon

Scrolling news

************ KARIBUNI..................Contact us for any breaking news or for any information at: znzkwetu@gmail.com. You can also fax us at: 1.801.289.7713......................KARIBUNI

Wednesday, July 29, 2020

OMAR RAMADHANI MAPURI: WASIMAMIZI UCHAGUZI WAZINGATIE UADILIFU!


Mjumbe wa Tume ya Uchaguzi (NEC), Mh. Balozi Omari Ramadhani Mapuri akifungua semina ya siku tatu ya waratibu wa Uchaguzi, wasimamizi, wasimamizi wasaidizi na maafisa Uchaguzi kutoka Mikoa ya Dodoma, Morogoro na Singida inayofanyika Jijini Dodoma. 

Balizi Omari Ramadhani Mapuri alisema, wasimamizi hao wa uchaguzi katika Kanda ya Kati wanatakiwa kuzingatia maadili wanapofanya kazi hiyo. Mafunzo ya siku tatu jijini hapa yaliyokutanisha washiriki 162, Mjumbe wa Tume ya Uchaguzi (NEC), Mh. 

Sehemu ya washiriki wa mafunzo hayo wakimsikiliza Mgeni Rasmi
Maafisa kutoka Tume ya Taifa ya Uchaguzi wakifuatilia Hotuba ya Mgeni Rasmi.
Washiriki wakijaza fomu maalum kabla ya kula kiapo mbele ya Hakimu.
Hakimu Mkazi Mfawidhi Mwandamizi Wilaya ya Dodoma, Mary Senapee akiwaongoza wasimamizi wa uchaguzi Mkuu kutoka kanda ya Kati kula kiapo.

No comments :

Post a Comment