Kwarara Msikitini

Dual Citizenship #2

Dual Citizenship #2

Pemba Paradise

Zanzibar Diaspora

ZanzibarNiKwetuStoreBanner

Mwanakwerekwe shops ad

ZNK Patreon

Scrolling news

************ KARIBUNI..................Contact us for any breaking news or for any information at: znzkwetu@gmail.com. You can also fax us at: 1.801.289.7713......................KARIBUNI

Tuesday, September 25, 2012

Mtoto Nairat na Bisambe

Maendeleo ya matibu ya Nairat 
na dada yake Bisambe

Mtoto Nairat

Mtoto Nairat (7) na Bisambe (21) wenye matatizo ya ngozi wamepelekwa hospitali kwa ajili ya matibabu ya ngozi na macho yanayowakabili na hivi sasa bado wapo hospitali ya Muhimbili wanaendelea na vipimo vya afya zao hadi sasa tumepokea fedha kutoka kwa ndugu jamaa na marafiki kutoka sehemu mbali mbali ndani na nje ya nchi. Kutoa ni moyo na sio utajiri michango yote inawasilishwa kwa Hassan Khamis wa UK na Salma Said Zanzibar.

Watoto hawa wapo chini ya dhamana ya Salma Said aliyejitolea kuwashughulikia kwa muda wote wa matibabu.

Anuwani zao ni hizi hapa:
Salma Said,
P. O. Box 1442,
Tel:             +255 (024) 223 5219    
Mobile:             +255 777 477 101    
E-mail: muftiiy@yahoo.com
Hassan Mussa Khamis
Mobile:             +44 7588550153    
email: hassan.mussa@gmail.com
United Kingdom

No comments :

Post a Comment