Mtaalam wa Cocktail Sir Thabith
Kutoka kushoto ni mtaalam wa madikodiko na mtalaam wa kachumbari
Mtaalam wa Chapati katika tabasamu mwanana
Mtaalamu wa Mchuzi akiwa na Babu Terry
Watatu kutoka kulia ni mtalaam Biriann na mama mwenye nyumba wake
Toka kushoto ni mtaalamu wa sambusa akiwa na mdogo wake
Kikundi cha kisukuma cha watanzania waishio Denamark na wadenishi walitoa burudani siku hiyo, wazungu hao wanaimba kisukuma, wanaongea kiswahili.
Juu na chini wageni waalikwa wakipata maakuli 
Kutokana na ukosefu wa mahali pa kusherehekea sikukuu ya uhuru 
hasa kwa kipindi hiki tunachokaribia X-mass tarehe ya 9Dec.  
watanzania waishio  Denmark walisherehekea sikukuu hiyo tarehe 1st.Dec.
Kwa picha zaidi bofya  read more
 Papaa, mzee wa makofia
 Kama jadi ya wimbi wa Taifa ukiimbwa inabidi kusimama
 Juu na chini ilikuwa Kwaito time
Wasukuma wakifanya vitu vyao
 Wageni waalikwa wakifurahia ngoma ya kisukuma
Msukuma wa kizungu huyo kazini!
Huyo kijana Pombe kwake  mwiko kabisaaaa
 Dj Dave akiwa na Mshereheshaji Mr.Tambwe
Lucy Komba (kushoto) akiwa na rafiki ya wake
 Warembo katika picha ya pamoja
Hapo chachaaa...raha jipe mwenyewe
 Mtu na wajina wake ndani ya mduara 
 Bibie akionyesha utaalamu wakukata mauno
 Mambo ya mduara hayoo
 Juu na chini ni Jaketi lililotengenezwa kwa kitenge
Jaketi lililotengenezwa kwa kitenge
Bw. Saidi akiwa na Dada yake
Kijana wa nyimbo za kufokafoka akifanya vitu vyake
Wakati wa Kwaito
                                     
 
No comments :
Post a Comment