AirFreight

Kwarara Msikitini

Dual Citizenship #2

Dual Citizenship #2

Pemba Paradise

Zanzibar Diaspora

ZanzibarNiKwetuStoreBanner

Mwanakwerekwe shops ad

ZNK Patreon

Scrolling news

************ KARIBUNI..................Contact us for any breaking news or for any information at: znzkwetu@gmail.com. You can also fax us at: 1.801.289.7713......................KARIBUNI

Monday, December 10, 2012

MZEE MWANAKIJIJI NI MWENDAWAZIMU CHAKARI!

Mzee Mwanakijiji akiwa maskini na taabani wa fikra za maana!

 “Tanganyika haihitaji Zanzibar na haiitegemei Zanzibar kwa chochote. Ni kwa sababu hiyo naamini ili kuharakisha Zanzibar kujitoa na viongozi hawa wapigania uhuru kuweza kupata nafasi ya kuongoza taifa la Zanzibar natoa pendekezo kuwa kwa ukarimu wetu kutoka Tanganyika tutenge shilingi bilioni 400 hizi ili kuwasaidia Zanzibar kuanza maisha mapya wao wenyewe. ...... Nina uhakika bilioni 400 ni fedha nyingi sana ambazo Wazanzibari watashukuru.” 

Hayo aliyaandika Mzee Mwanakijiji kwenye moja ya nyaraka zake potofu za huko nyuma.

Tunaelezwa kila siku na wazee wetu kuwa uendawazimu upo wa namna nyingi. Mzee Mwanakijiji ni mwendawazimu wa aina yake peke yake!

Hivyo Mzee Mwanakijiji anaona TShs 400 billion ni hela nyingi sana? Kama ingelikuwa ni hivyo basi Tanganyika leo ingelikuwa ni pepo, kwasababu imezipata hela kama hizo zaidi ya mara mia. Ziliopo Uswiss tu peke yake ni mara 1000 ya hizo billioni 400.

Mzee Mwanakijiji ni mwendawazimu chakari na hafahamu kuwa mchango wa Zanzibar katika kuanzisha BoT peke yake ni zaidi ya trillion moja, kwa hela za sasa. Labda Mzee Mwanakijiji atakuwa sawa na wale ambao hawajui nani waliochangia kuianzisha BoT.

Kama Mwanakijiji ndio ameamua kwa ukarimu wake kuilipa Zanzibar, basi hayo malipo yasiwe 400 billion, lakini yawe kwa kila alichokipata au kukipokea (tokea 1964) kwa jina la Tanzania akigawe nusu kwa nusu baina ya Zanzibar na Tanganyika na sio kutoa 400 billion tu, wakati yeye amechukuwa zaidi ya hizo katika hio miaka yote. Pia atoe dividend ya 11.2% kwa kuilipa Zanzibar tokea kuanzishwa kwa BoT mpaka leo.

Mwanakijiji anaendelea kuandika kuwa eti Tanganyika haihitaji ZNZ!  Well, he can write anything to enthrill himself, but the truth is:  Kama sio Zanzibar maeneo ya Kariakoo mpaka leo yangeliendelea kuwa madimbwi ya maji machafu. It was us Zanzibaris who turned the small dilapidated mud houses of Kariakoo into beautiful buildings and changed the area into a business centre. That can’t be refuted by any person who is in his proper senses!

Bara needs Zanzibar more than Zanzibar needs Bara. Zanzibaris are today one of the economic engines of Mainland. Take us out of Mainland and one of your economic engines is stalled at the middle of the road. This is the truth that Mzee Mwanakijiji ought to know!

......bilioni 400 ni fedha nyingi sana? Well, Mzee Mwanakijiji, if so, then you can keep it. Tunacholilia Wazanzibari sio pesa, bali uhuru wa kuweza kuamua mambo yetu wenyewe bila ya kuja Bara kupiga magoti!

By Bakari Pandu

No comments :

Post a Comment