zanglassworks

AirFreight

Kwarara Msikitini

Dual Citizenship #2

Dual Citizenship #2

Pemba Paradise

Zanzibar Diaspora

ZanzibarNiKwetuStoreBanner

Mwanakwerekwe shops ad

ZNK Patreon

Scrolling news

************ KARIBUNI..................Contact us for any breaking news or for any information at: znzkwetu@gmail.com. You can also fax us at: 1.801.289.7713......................KARIBUNI

Thursday, September 5, 2013

BONGOLAND BUNGE!!!

VURUGU BUNGENI LEO

Kiongozi wa kambi rasmi ya Upinzani Bungeni Mh Mbowe ametolewa nje ya 
Bunge, baada ya kukaidi amri ya Naibu spika Mh Ndugai alipomwamuru akae 
na Mh Mbowe kutokutii amri hiyo. Mh ngudai aliamuru askari wa Bunge kumtoa 
nje, hata hivyo baadaye wabunge karibu wote wa upinzani walitoka pia isipokuwa 
Mh. Augustin Mrema wa TLP. Upinzani Bungeni unadai muswada wa katiba 
2013 unamapungufu.
Picha ikionyesha Mhe.Joseph Mbilinyi akitolewa nje ya Binge angalia Video upate picha kamili

No comments :

Post a Comment