Mbunge wa Korogwe Vijijini (CCM), Stevenn Ngonyani (Profesa majimarefu) (kushoto) na Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri ya Wilaya ya Korogwe, Lucas Mweri, wakishiriki msaragambo wa kusomba mawe kwa ajili ya ujenzi wa maabara ya Shule ya Sekondari ya Patema iliyopo Kata ya Mpale Tarafa ya Bungu.
Hili blog ni kuhusu Tanzania na dunia nzima kwa ujumla. Pita kila siku kwa habari moto moto. (This blog is about Tanzania and the world as a whole. Pass-by everyday for breaking news). ***********************KARIBUNI NYOTE / YOU ARE ALL WELCOME!***********************
No comments :
Post a Comment