WAZIRI wa Fedha Zanzibar Omar Yussuf Mzee na
Balozi Mdogo wa China Zanzibar Balozi Xie YunLiang,
wakitiliana saini makubaliano ya Miradi Minne inayofadhiliwa na China kuisaidiaZanzibar katika sekta mbalimbali,
makubalianohayo yamefanyika katika Ukumbi wa Ofizi
ya Wizara ya Fedha Vuga Zanzibar.
Waziri wa Fedha Zanzibar Omar Yussuf Mzee na Balozi Mdogo
wa China Zanzibar Balozi Xie Yunliang, wakibadilishana Mikataba ya
Makubaliano ya Miradi Minne ya maendeleo Zanzibar waliotiliana
saini baina ya Serekali ya Mapinduzi Zanzibar na Serekali Watu wa China,
Waziri wa Fedha Zanzibar Omar Yussuf Mzee akizungumza na
No comments :
Post a Comment