zanglassworks

AirFreight

Kwarara Msikitini

Dual Citizenship #2

Dual Citizenship #2

Pemba Paradise

Zanzibar Diaspora

ZanzibarNiKwetuStoreBanner

Mwanakwerekwe shops ad

ZNK Patreon

Scrolling news

************ KARIBUNI..................Contact us for any breaking news or for any information at: znzkwetu@gmail.com. You can also fax us at: 1.801.289.7713......................KARIBUNI

Saturday, October 26, 2013

Zanzibar Fashion Night out 2013

 Mwanamitindo Mbunifu a mavazi, Doreen Mashika wa Zanzibar akitoa maelezo ya kazi zake kwa watu waliohudhuria maonyesho ya mavazi kwenye ukumbi wa hoteli ya 6 Degrees Shangani mji mkongwe  Zanzibar jana usiku wakati wa maonesho hayo katika ukumbi huo.

 Mrembo Anna Gura wa Tanzania akipozi kwenye maonyesho ya mavazi ya mwanamitindo mbunifu Doreen Mashika  wa Zanzibar yaliyofanyika kwenye ukumbi wa 6 Degrees
South mjini Zanzibar jana.

 Mrembo Joselyn Mrashi wa Tanzania akiwa katika pozi la vazi la mwanamitindo, Doreen Mashika, mbunifu wa mavazi kutoka Zanzibar kwenye maonyesho ya mavazi yake yaliyofanyika kwenye ukumbi wa 6 Degrees South mjini Zazibar jana.

 Warembo  wa Tanzania Joselyn Mrashi, Anna Gura  wakipozi na Sussane Anyango wa Kenya (kulia) wakati wa maonesho hayo ya mavazi yaliofanyika katika ukumbi wa 6 Degrees Shangani Mji Mkongwe Zanzibar.
  Hivi ndivyo ilivyokuwa wakati wa Shamrashamra zikiendelea wakati wa maonyesho ya mavazi ya Mwanamitindo wa Zanzibar, Doreen Mashika jana kwenye ukumbi mpya wa kisasa wa 6 Degrees

                                  Wadau wakiwa katika picha na Warembo baada ya maonesho hayo

  Mpambaji Reto Camicael kutoka Afrika ya kusini akimpamba Susanne Manoko wa Tanzania kwenye maonyesho ya mavazi ya mwanamitindo mbunifu wa Zanzibar, Doreen Mashika yaliyofanyika kwenye ukumbi wa kisasa wa 6 Degrees

 Membo Dianne Nyanzwa wa Kenya (kulia) akipozi na mrembo wa Tanzania Sussane Manoko
kwenye maonyesho ya mavazi ya mwanamitindo, Doreen Mashika.

  Mpambaji Reto Camicael kutoka Afrika ya kusini akimpamba Susanne Manoko wa Tanzania kwenye maonyesho ya mavazi ya mwanamitindo mbunifu wa Zanzibar, Doreen Mashika yaliyofanyika kwenye ukumbi wa kisasa wa 6 Degrees South mjini Zanzibar jana




Chanzo: ZanziNews


No comments :

Post a Comment