zanglassworks

AirFreight

Kwarara Msikitini

Dual Citizenship #2

Dual Citizenship #2

Pemba Paradise

Zanzibar Diaspora

ZanzibarNiKwetuStoreBanner

Mwanakwerekwe shops ad

ZNK Patreon

Scrolling news

************ KARIBUNI..................Contact us for any breaking news or for any information at: znzkwetu@gmail.com. You can also fax us at: 1.801.289.7713......................KARIBUNI

Thursday, November 14, 2013

Balozi Seif Akiendelea na Ziara yake Seattle Washington USA.

Balozi Seif akiagana na Naibu Mkurugenzi wa Mfuko 
wa Kimataifa wa Misaada wa Bill na Melinda Gates Bibi Arlene 
Mitchell mara baada yha mazungumzo yao katika Ofisi ya Mfuko 
huo zilizopo kati kati ya Jiji la Seattle.
Kati kati yao ni Waziri wa Biashara, Viwanda na Masoko 
Mh. Nassor Ahmed Mazrui.

Makamu wa Pili wa Rais wa Zanzibar Balozi Seif Ali Iddi 
akiangalia kifaa kipya kabisa cha mawasiliano ya kompyuta 
Maarufu ipad kwenye kampuni ya Microsoft akishuhudiwa na 
Waziri wa Biashara Kushoto yake Mh. Nassor Ahmed Mazrui. 
Kulia yake ni Mtaa lamu wa Kompyuta wa Kampuni ya 
Maicrosoft Mhandisi Daniel Moloznk na Mke wa Makamu 
wa Pili wa Rais wa Zanzibar Mama Asha Suleiman Iddi.

Makamu wa Pili wa Rais wa Zanzibar Balozi 
Seif Ali Iddi kati kati akibadilishana mawazo na Mawaziri 
wake aliofuatanao nao katika ziara yao Nchini Marekani.  
Kushoto yake ni Mh. Nassor Ahmed Mazrui Waziri wa 
Biashara, Viwanda na Masoko  na kulia yake 
Waziri wa Nchi Ofisi ya Makamu wa Pili wa Rais 
wa Zanzibar Mh. Mohammed Aboud Mohammed.

Makamu wa Pili wa Rais wa Znzibar Balozi Seif 
na Ujumbe wake wakiwa katika picha ya pamoja 
kabla ya kuanza kutembelea ofisi ya Kampuni ya 
Microsoft kati kati ya Mji wa Seattle – Washing 
Nchini Marekani.

Makamu wa Pili wa Rais wa Zanzibar Balozi Seif 
na ujumbe wake akiangalia baadhi ya kompyuta 
mpya zilizoingia kwenye soko katika ofisi za 
Kampuni ya Kimataifa bya Microsoft 
Mjini Seattle – Washington Nchini Marekani.

Balozi Seif akiwa katika picha ya pamoja na 
Uongozi wa Mfuko wa Kimataifa wa misaada 
wa Bill na Melinda Gates pamoja na ujumbe 
aliofuatana nao mara baada ya mazungumzo yao 
kwenye ofisi ya Mfuko huo Mjini Seattle

Makamu wa Pili wa Rais wa Zanzibar Balozi 
Seif Ali Iddi akisalimiana na Bingwa wa zamani 
wa  Mbio za Magari Duniani Robert Shumake 
aliyekuwa tayari kuingia ubia na Mfuko wa Hifadhi 
ya Jamii Zanzibar { ZSSF } katika mpango wake 
wa ujenzi wa nyumba za mkopo nafuu Mbweni,
Robert  Shumake ni Ofisa Mkuu wa Taasisi ya 
Mtandao wa ushirikiano ya Latin America 
iliyoanzishwa kwa lengo la kusaidia 
huduma za Kijamii kama Ujenzi wa Nyumba, 
Afya pamoja na Elimu.

Makamu wa Pili wa Rais wa Zanzibar Balozi 
Seif akiwa katika picha ya Pamoja na Bingwa 
wa zamani wa  Mbio za Magari Duniani Robert 
Shumake kushoto yake  mara baada ya mazungumzo 
yao yaliyofanyika katika Hoteli ya Kimataifa ya Marriott 
Mjini Seattle – Washington Nchini 

Rais wa Chama cha Wafanyabiashara, 
wenye Viwanda na Wakulima Zanzibar 
Bw. Abdulla Abass akimpatia zawadi Maalum 
za Zanzibar Mkurugenzi Mkuu wa kitengo cha 
Elimu ya Afya cha Microsoft Bwana 
Bill Crounse Mjini Seattle.

No comments :

Post a Comment