Mkurugenzi Mtendaji wa KCB Tanzania,Bw.Moezz Mir akifungua semina ya wajasiriamali wadogowadogo na wakati ikiwa na lengo la kuwaelimisha jinsi ya kufanyabiashara na kutumia mikopo kwa njia sahihi,Semina hiyo iliyoandaliwa na benki hiyo itafanyika kwa siku mbili jijini Dar e Salaam.
Chanzo: Global Publishers
No comments :
Post a Comment