zanglassworks

AirFreight

Kwarara Msikitini

Dual Citizenship #2

Dual Citizenship #2

Pemba Paradise

Zanzibar Diaspora

ZanzibarNiKwetuStoreBanner

Mwanakwerekwe shops ad

ZNK Patreon

Scrolling news

************ KARIBUNI..................Contact us for any breaking news or for any information at: znzkwetu@gmail.com. You can also fax us at: 1.801.289.7713......................KARIBUNI

Sunday, November 17, 2013

Mafanikio na Matatizo ya Mahkama miaka 50

Mhadhiri wa sheria, Ali Uki
Mhadhiri wa sheria wa Zanzibar University, Ali Uki
Hapo jana tarehe 16 novemba, 2013 Mtaalamu na mhadhiri wa sheria kutoka chuo kikuu cha Zanzibar (Zanzibar University) alipata fursa ya kuwasilisha mada aliyoifanyia utafiti kuhusu mafanikio na matatizo ya mahkama za Zanzibar katika kipindi cha miaka 50 iliyopita.
Mara baada ya kuwasilishwa kwa mada hiyo mjadala mkali ulifumuka kutoka kwa wachangiaji mbali mbali.
Mjadala huo ulihudhuriwa na watu mbalimbali akiwemo Jaji Mkuu wa Zanzibar, mheshimiwa Omar Othman Makungu ambaye alikuwa mwenyekiti wa mjadala huo, na Mrajis wa mahkama Zanzibar mheshimwa George Kazi; ambao kwa pamoja wamekubali ombi la mtoa mada kusaidiwa kuchapisha kitabu kuhusu kuhusu mada hiyo na pia aendelee kufanya utafiti zaidi.
Soma mada hiyo kwa urefu hapa: Miaka 50 ya Mahkama Zanzibar

Chanzo:ZanzibariYetu

No comments :

Post a Comment