Rais Jakaya Kikwete, akizungumza na Waziri wa Mambo ya Nje wa Kenya, Balozi Amina Mohamed, aliposimama kwa muda katika Uwanja wa Ndege jijini Nairobi, Kenya jana wakati akirejea nyumbani akitokea Paris, Ufaransa kuhudhuria mkutano wa amani, usalama na ushirikiano wa kiuchumi kati ya Ufaransa na Bara la Afrika.
Hili blog ni kuhusu Tanzania na dunia nzima kwa ujumla. Pita kila siku kwa habari moto moto. (This blog is about Tanzania and the world as a whole. Pass-by everyday for breaking news). ***********************KARIBUNI NYOTE / YOU ARE ALL WELCOME!***********************
No comments :
Post a Comment