Rais waZanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi
Dk.Ali Mohamed Shein,akisalimiana na Msajili wa Vyama
vya Siasa Tanzania Jaji Francis S.K.Mutungi,alipofika Ikulu
Mjini Zanzibar kwa ajili ya kusalimiana na Rais jana.
Rais waZanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la
Mapinduzi Dk.Ali Mohamed Shein,akizungumza na
Msajili wa Vyama vya Siasa Tanzania Jaji Francis
S.K.Mutungi,alipofika Ikulu Mjini Zanzibar kwa ajili
ya kusalimiana na Rais jana
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la
Mapinduzi Dk.Ali Mohamed Shein, akifuatana
na Msajili wa Vyama vya Siasa Tanzania
Jaji Francis S.K.Mutungi,alipofika Ikulu Mjini Zanzibar,
baada ya mazungumzo yao jana.
[Picha na Ramadhan Othman,Ikulu.]
Chanzo: ZanziNews



No comments :
Post a Comment