Mhariri Msanifu Mkuu wa gazeti hii, Boniface Luhanga (kulia), akiwaeleza wanafunzi wa Shule ya Wasichana Marian iliyoko Wilaya ya Bagamoyo mkoani Pwani, jinsi gazeti la NIPASHE linavyoandaliwa, baada ya kutembelea chumba cha habari cha gazeti la NIPASHE Mikocheni jijini Dar es Salaam jana. Wa pili kulia ni Meneja Utawala wa The Guardian Limited, Michael Yohana.
Hili blog ni kuhusu Tanzania na dunia nzima kwa ujumla. Pita kila siku kwa habari moto moto. (This blog is about Tanzania and the world as a whole. Pass-by everyday for breaking news). ***********************KARIBUNI NYOTE / YOU ARE ALL WELCOME!***********************
No comments :
Post a Comment