Kutokana na habari tulizozipokea leo, basi linalofanya safari Iringa-Kilombero limegongana uso kwa uso na Fuso na baadae magari yote mawili yakateketea kwa moto huko maeneo ya milimani, kilomita kadhaa kutoka Ruaha Mbuyuni kuelekea Morogoro. Watu kadhaa wamepoteza maisha yao akiwemo dereva wa Fuso hilo na wengine wamekufa kwa kuteketea na moto. Chanzo chetu kinaelezea kuwa ajali hio imetokea leo Jumaapili mnamo kama saa mbili za asubuhi.
|
Hili blog ni kuhusu Tanzania na dunia nzima kwa ujumla. Pita kila siku kwa habari moto moto. (This blog is about Tanzania and the world as a whole. Pass-by everyday for breaking news). ***********************KARIBUNI NYOTE / YOU ARE ALL WELCOME!***********************
Sunday, April 12, 2015
AJALI MBAYA YATOKEA LEO ASUBUHI KWA BASI LINALOFANYA SAFARI IRINGA-KILOMBERO!
Subscribe to:
Post Comments
(
Atom
)




No comments :
Post a Comment