dual citizenship

Pemba Paradise

Zanzibar Diaspora

Mwanakwerekwe shops ad

ZanzibarNiKwetuStoreBanner

ZNK Patreon

Scrolling news

************ KARIBUNI..................Contact us for any breaking news or for any information at: znzkwetu@gmail.com. You can also fax us at: 1.801.289.7713......................KARIBUNI

Monday, October 19, 2015

Mkutano wa kampeni za CUF jimbo la Nungwi wafanyika fukwe za Nungwi

 Mgombea Urais wa Zanzibar kwa tiketi ya CUF Mhe. Maalim Seif Sharif Hamad, akiwahutubia wafuasi wa chama hicho katika fukwe za Nungwi baada ya viwanja vya sokoni Nungwi kuwa vidogo.
 Mgombea Urais wa Zanzibar kwa tiketi ya CUF Mhe. Maalim Seif Sharif Hamad, akikabidhiwa jahazi na wazee wa Nungwi kwenye mkutano wa chama hicho uliofanyika katika fukwe za Nungwi baada ya viwanja vya sokoni Nungwi kuwa vidogo.
 Wafuasi wa CUF walivyojitokeza kwenye mkutano wa kampeni uliofanyika katika fukwe za Nungwi Mkoa wa Kaskazini Unguja. (Picha na Salmin Said, OMKR)
 Wafuasi wa CUF walivyojitokeza kwenye mkutano wa kampeni uliofanyika katika fukwe za Nungwi Mkoa wa Kaskazini Unguja. (Picha na Salmin Said, OMKR) 
 Wafuasi wa CUF walivyojitokeza kwenye mkutano wa kampeni uliofanyika katika fukwe za Nungwi Mkoa wa Kaskazini Unguja. (Picha na Salmin Said, OMKR)
Wafuasi wa CUF walivyojitokeza kwenye mkutano wa kampeni uliofanyika katika fukwe za Nungwi Mkoa wa Kaskazini Unguja. (Picha na Salmin Said, OMKR)

No comments :

Post a Comment