Kwarara Msikitini

Dual Citizenship #2

Dual Citizenship #2

Pemba Paradise

Zanzibar Diaspora

ZanzibarNiKwetuStoreBanner

Mwanakwerekwe shops ad

ZNK Patreon

Scrolling news

************ KARIBUNI..................Contact us for any breaking news or for any information at: znzkwetu@gmail.com. You can also fax us at: 1.801.289.7713......................KARIBUNI

Wednesday, November 11, 2015

SHEREHE ZA UMOJA WA ULAYA NA TANZANIA!

Katibu Mkuu wa Wizara ya Mambo ya Nje, Balozi Liberata Mulamula (kushoto) akizungumza wakati wa sherehe ya maadhimisho ya miaka 40 ya ushirikiano kati ya Umoja wa Ulaya na Tanzania iliyofanyika jijini Dar es Salaam jana. Wengine kutoka kulia ni Mwenyekiti wa Chemba ya Madini na Nishati Tanzania, Balozi Ami Mpungwe, Katibu Mkuu wa Wizara ya Fedha, Dk. Servaciaus Likwelile na Balozi wa Umoja wa Ulaya (EU) Tanzania, Balozi Filiberto Ceriani Sebregondi. Picha: Halima Kambi.

No comments :

Post a Comment