dual citizenship

Pemba Paradise

Zanzibar Diaspora

Mwanakwerekwe shops ad

ZanzibarNiKwetuStoreBanner

ZNK Patreon

Scrolling news

************ KARIBUNI..................Contact us for any breaking news or for any information at: znzkwetu@gmail.com. You can also fax us at: 1.801.289.7713......................KARIBUNI

Wednesday, January 20, 2016

RAIA WA UJERUMANI ATELEKEZA FAMILIA YAKE HOTELINI JIJINI DAR ES SALAAM

Raia wa Ujerumani (kulia) ambayejinalake halikupatikana maramoja, ametiwa na mbaroni na Jeshi la Polisi Kanda Maalum ya Dar es Salaam kwa tuhuma za kutaka kuitoro familia yake katika Hoteli ya Cate Dar es Salaam. Raia huyo alikuwa nchini na mkewe mwenye asili ya Afrika katika kipindi cha msimu wa sikukuu za mwisho wa mwaka. Alijaribu kumtoroka mkewe na mtoto (4) na kuwaacha wakidaiwa deni la sh. 315,000 baada ya kuzuka ugomvi baina yao. (PICHA ZOTE NA KHAMISI MUSSA)
Mtoto wao (4) akisaidiwa kupandishwa katika Gari
Raia wa Ujerumani huyo akitaka kuruka toka katika Gari
Mke wa Raia wa Ujerumani wa pili kulia akiwa anaingia katika Gari kuelekea katika Kituo cha Polisi cha Msimbazi Dar es Salaam na wapili kulia ni kaka wa mwanamke wa Raia wa Ujerumani
Wananchi wakifatilia kwa karibu

No comments :

Post a Comment