zanglassworks

AirFreight

Kwarara Msikitini

Dual Citizenship #2

Dual Citizenship #2

Pemba Paradise

Zanzibar Diaspora

ZanzibarNiKwetuStoreBanner

Mwanakwerekwe shops ad

ZNK Patreon

Scrolling news

************ KARIBUNI..................Contact us for any breaking news or for any information at: znzkwetu@gmail.com. You can also fax us at: 1.801.289.7713......................KARIBUNI

Tuesday, March 14, 2017

VIDEO: Rais Magufuli ampigia simu Diamond leo March 14, 2017!



Leo March 14 2017 kupitia kipindi cha Clouds 360 kinachorushwa na Clouds TV, Rais Magufuli amepiga simu na kuzungumza na Mwimbaji wa Bongo fleva Diamond Platnumz baada ya kusikia Diamond akimuomba Rais Magufuli aisadie sanaa ya muziki kama anavyosaidia mambo mengine.

>>>”Mimi namuomba Rais Magufuli kama anavyosaidia mengine kwa wepesi, kwenye sanaa uweke mkono wako Baba tunakutegemea.” – Diamond.

Baada ya Diamond kuyaomba hayo, Rais Maguli alipiga simu moja kwa moja kwenye kipindi hicho na kusema:>>> “Nimemsikia Diamond na maombi yake nimeyapokea kwa mikono miwili nimefurahi kumskia siku ya leo natafuta siku ambayo tutakaa pamoja, nasikilizaga nyimbo zako hata wale wanaoigiza nawapenda sana na SHILAWADU.” – Rais Magufuli.

.>>> “Hongera sana Diamond hongera sana kuwa na watoto, wakati wa kampeni ulikuwa na mtoto mmoja sasa una wawili.“

No comments :

Post a Comment