dual citizenship

Pemba Paradise

Zanzibar Diaspora

Mwanakwerekwe shops ad

ZanzibarNiKwetuStoreBanner

ZNK Patreon

Scrolling news

************ KARIBUNI..................Contact us for any breaking news or for any information at: znzkwetu@gmail.com. You can also fax us at: 1.801.289.7713......................KARIBUNI

Saturday, May 20, 2017

Mwili wa mwanasiasa Kenya wapatikana mtoni!

Mwili wa mwanasiasa Thomas Minito, kutokea nchini Kenya wapatikana ukielea katika mto karibia na mji wa Machakos, kilomita hamsini mashariki mwa Nairobi.

Mwanasiasa huyo alikamatwa na polisi March 30 mwaka huu, kwa kuchochea vurugu na kusababisha kifo cha mwandishi wa habari, Kuki Gallmann ambaye aliuwawa kwa kupigwa na risasi.

Polisi nchini Kenya wanasema mwanasiasa Minito alijihusisha na uvamizi wa mashamba ya kibinafsi, na amepatikana ameuawa. Walimtambua kupitia stakabadhi zilizokuwa mfukoni mwake. Polisi katika mji wa Laikipia -Kenya wanaendelea kuwasaka waliovamia mashamba mbalimbali eneo hilo. Hii ni baada ya wafugaji kuvamia mashamba ya watu binafsi wakitafuta lishe.

Hata hivyo familia yake bado haijadhibitisha kifo cha mwanasiasa huyo.

No comments :

Post a Comment