dual citizenship

Pemba Paradise

Zanzibar Diaspora

Mwanakwerekwe shops ad

ZanzibarNiKwetuStoreBanner

ZNK Patreon

Scrolling news

************ KARIBUNI..................Contact us for any breaking news or for any information at: znzkwetu@gmail.com. You can also fax us at: 1.801.289.7713......................KARIBUNI

Wednesday, June 28, 2017

Maalimu Seif Ahadithia Njama zilizopangwa Kumuhujumu!



 

Katibu Mkuu wa Chama Cha Wananchi CUFMaalimu Seif Sharifu Ahmadi   ametaja Njama zinatumiwa na watu wenye nia ovu naye kumuhujumu pamoja na kumpindua kwenye nafasi yake

Maalim amezitaja mbinu mbinu hizo na maamuzi ya chama hicho kufuatia hofu hiyo ndani ni kukabiliana na njama hizo.

Hata Hivyo Katibu Mkuu huyo amesema kuwa Haki ya Wanzzibar ya kuhusu Uchaguzi Mkuu wa Zanzibar itapatikana sio muda mrefu.


No comments :

Post a Comment