Juu ni video ya kisomo kilichofanyika leo siku ya Jumamosi Sept 16, 2017 Wheaton, Maryland na kuhudhuriwa na ndugu, jamaa na marafiki Mzee Kessy Sakapala ni baba mzazi wa Ummy na Abuu.
Mtoto wa marehemu Ummy wapili toka kushoto (mwenye ushungi mweupe) akifuatilia kisomo cha mpendwa baba yake aliyefariki siku ya Jumanne Sept 12, 2017 jijini Dar na kuzikwa siku ya Jumatano Sept 13, 2017 Kijichi.
Kisomo kikiendelea.
Kwa picha zaidi bofya soma zaidi
No comments :
Post a Comment