dual citizenship

Pemba Paradise

Zanzibar Diaspora

Mwanakwerekwe shops ad

ZanzibarNiKwetuStoreBanner

ZNK Patreon

Scrolling news

************ KARIBUNI..................Contact us for any breaking news or for any information at: znzkwetu@gmail.com. You can also fax us at: 1.801.289.7713......................KARIBUNI

Monday, October 2, 2017

Wabunge Lema na Nassari wawasili TAKUKURU!


Wabunge wa Chadema Joshua Nassari wa Arumeru Masha riki na Godbless Lema wa Arusha Mjini wamewasili mchana huu katika Makao makuu ya ofisi ya Taasisi ya kuzuia na kupambana na rushwa Jijini Dar es Salaam kukabidhi kile wanachokiita ushahidi unao onesha Jinsi madiwani wa CHADEMA katika baadhi ya kata mkoani Arusha walivyorubuniwa kwa Fedha   hadi kujizuru nyadhifa zao.

Wabunge hao pia wamesindikizwa na Mbunge wa Iringa mjini Peter Msigwa.

No comments :

Post a Comment