zanglassworks

AirFreight

Kwarara Msikitini

Dual Citizenship #2

Dual Citizenship #2

Pemba Paradise

Zanzibar Diaspora

ZanzibarNiKwetuStoreBanner

Mwanakwerekwe shops ad

ZNK Patreon

Scrolling news

************ KARIBUNI..................Contact us for any breaking news or for any information at: znzkwetu@gmail.com. You can also fax us at: 1.801.289.7713......................KARIBUNI

Tuesday, November 7, 2017

Rais Omar al Bashir asema kuwa ataondoka madarakani muhala wake utakapo malizika!

Rais wa Sudan Omar al Bashir amefahamisha Jumatatu kuwa ataondoka madarakani muhala wake utakapo malizika ifikapo mwaka 2020.

Rais al Bashir ameseka kuwa ametoa ahadi kwa raia wa Suadn kuwa ataondoka madarakani wakati muhula wake wa kuongoza kama rais utakapo malizika.

Muhala wa kuongoza Sudan rais al Bashir utamalizika ifikapo mwaka 2020.

Rais al Bashir amewaambia raia kuwa atawaachia Sudan katika mikono yao na kuamchagua wamtakae.

Hayo rais wa Sudan alitazungumza katika mkutano na baraza la kitaifa la vijana mjini Khartoum.

No comments :

Post a Comment