zanglassworks

AirFreight

Kwarara Msikitini

Dual Citizenship #2

Dual Citizenship #2

Pemba Paradise

Zanzibar Diaspora

ZanzibarNiKwetuStoreBanner

Mwanakwerekwe shops ad

ZNK Patreon

Scrolling news

************ KARIBUNI..................Contact us for any breaking news or for any information at: znzkwetu@gmail.com. You can also fax us at: 1.801.289.7713......................KARIBUNI

Monday, November 6, 2017

Salamu za Godbless Lema kwa Mrisho Gambo!



Mbunge wa Arusha Mjini (CHADEMA) Godbless Lema amefunguka na kumpa salamu Mkuu wa Mkoa wa Arusha Mrisho Gambo na kumwambia kuwa akijaribu kufanya wizi katika uchaguzi wa udiwani unaotarajiwa kufanyika mwisho wa mwezi huu basi kutakuwa na mambo mawili

Lema amesema hayo jana katika uzinduzi wa kampeni za uchaguzi mdogo katika Kata ya Muriet Arusha mjini na kusema endapo Mkuu huyo wa Mkoa na Mkurugenzi wataiba uchaguzi huo basi kutatokea makundi mawili ya watu.
Mtazame hapa akifuguka zaidi.

No comments :

Post a Comment