dual citizenship

Pemba Paradise

Zanzibar Diaspora

Mwanakwerekwe shops ad

ZanzibarNiKwetuStoreBanner

ZNK Patreon

Scrolling news

************ KARIBUNI..................Contact us for any breaking news or for any information at: znzkwetu@gmail.com. You can also fax us at: 1.801.289.7713......................KARIBUNI

Sunday, December 3, 2017

Mbwa wa Nassari azikwa, Lema ahudhuria mazishi!

Mbunge wa Arusha Mjini, Godbless Lema mapema leo asubuhi na Mbunge wa Arumeru Mashariki,  Joshua Nassari, na waombolezaji wengine wachache wamehudhuria mazishi ya mbwa wa Nassari aliyeuawa na watu wasiojulikana baada ya kuvamiwa nyumbani kwake na kumpiga risasi.

Mazishi hayo yamefanyika huko huko Arumeru.Mbwa huyo alikuwa ni mlinzi wa Nassari nyumbani kwake ambapo amesikitishwa na kifo cha mnyama huyo aliyekuwa rafiki wake wa karibu.




No comments :

Post a Comment