WAZIRI wa Nchi Ofisi ya Rais Katiba Sheria Utumishi wa Umma na Utawala Bora, Mhe Haroun Ali Suleiman akizungumza na Naibu Waziri wa Sheria wa China Zhao Da Cheng alipofika Ofisini kwake kubadilishana mawazo na kushirikiana katika mambo ya Sheria katika Nchi hizi mbili mazungumzo hayo yamefanyika katika Ukumbi wa Wizara hiyo mazizini Unguja
/ZanziNews
No comments :
Post a Comment