Hili blog ni kuhusu Tanzania na dunia nzima kwa ujumla.
Pita kila siku kwa habari moto moto.
(This blog is about Tanzania and the world as a whole.
Pass-by everyday for breaking news).
***********************KARIBUNI NYOTE / YOU ARE ALL WELCOME!***********************
Kwarara Msikitini
Dual Citizenship #2
Pemba Paradise
Zanzibar Diaspora
ZanzibarNiKwetuStoreBanner
Mwanakwerekwe shops ad
ZNK Patreon
Scrolling news
Thursday, April 26, 2018
Rais Magufuli atoa msamaha kwa wafungwa 3,319!
Katika kuadhimisha miaka 54 ya Muungano, Rais wa Jamuhuri ya Muungno wa Tanzania, Dkt. John Pombe Magufuli ametoa msamaha kwa wafungwa 3,319.
Kwa mujibu wa taarifa iliyotolewa na Wizara ya Mamba ya Ndani, imesema kati ya wafungwa hao 585 wataachiwa huru leo na 2,734 wamepunguziwa adhabu zao na wataendelea kubaki gerezani kumalizia sehemu ya kifungo chao kilichobakia.
No comments :
Post a Comment