Mwenyekiti wa Jumuiya ya Wakunga na Wauguzi Zanzibar.Bi. Valeria Rashid Haroub akikabidhi Msaada wa Vyakula kwa Afisa wa Ustawi wa Jamii Zanzibar Kitengo cha Watoto Yatima Mazizini Ndg. Juma Makame Kombo,wakati wa hafla ya kukabidhi msaada wa Vyakula na kutoka huduma za kuwapima Afya zao walipowatembelea na kukabidhi msaada huo.
Mwenyekiti wa Jumuiya ya Wakunga na Wauguzi Zanzibar.Bi. Valeria Rashid Haroub akiwa katika picha ya pamoja na Watoto Wanaoishi katika Nyumba ya Watoto Yatima Mazizini Zanzibar baada ya hafla ya kukabidhi msaada wa Vyakula na kuwapima Afya Zao.(Picha na Abdalla Omar Maelezo – Zanzibar).
BARAZA la Wakunga na Wauguzi imefanya ziara ya kuwatembelea watoto yati ma wanaolelewa katika kituo cha Watoto Mazizini Zanzibar kujua maendeleo yao kiafy a pamoja na kutowa huduma mbalimbal i za kuchunguza Afya zao.
Aidha, katika ziara hiyo, wauguzi waliwapima afya, uzito ili kufahamu kama wanakabili wa na maradhi mbalimbali, pamoja na kutoa tiba.
Akizungumza wakati wa ziara hiyo, Mwenyekiti wa baraza hilo Bi.Valeria Rashid Haroub, alisema ziara hiyo ni miongoni mwa s hughuli mbali mbali zinazofanyika kuelekea siku ya wakunga duniani, ambayo itafikia kilele chake Mei 5, 2018.
Amesema watoto ni viumbe wanaohita ji huduma na uangalizi wa mara kwa ma ra ili kutambua afya zao, akieleza kuwa, hatua ya kuwapima maradhi ikiwemo k isukari na kujua viwango vyao vya da mu, inarahisisha kuwaanzishia tiba map ema kabla hali zao hazijawa mbaya.
“Mtoto ni tegemeo la jamii kwa siku za baadae. Anahitaji huduma zote muhimu ikiwe mo malazi,elimu, afya na ishe bora kama alivyomalengoyaserikali,” alisemaMwenyekitihuyo.
NaeMsaidizimrajisBaraza la wauguzi Rajab KhamisRajab alisemawatotonimuhimuhivyowana hitajikupewahudumazotezajamii.
Akizungumziamaadhimishoyasikuy aWakunganaWauguzi, Valeria alisemabarazahilolimepangakufa nyashughulimbalimbaliikiwemoku tembeleamaskulinikwaajiliyakut oaelimukwawanafunzijuuyakujiki nganamaradhitafautihasayamripu kokatikakipindihichi cha mvua.
Aidha, alisemawamejipangakutoaelimuya uzaziwampangokatikavituombalim balimijininavijijininakuwashaj iishaakinamamakujifunguliahosp italiilikupunguzamatatizoyanay owezakujitokezawakatiwakujifun gua.
“ Serikaliimewekavituovyaafyavin avyotoahudumaza mama namtotokilasehemuilikuwarahisi shiauzazisalama,” alisema Valeria.
Alizitajamiongonimwahospitaliz itakazotolewahudumahizopamojan aelimukuwaniMakunduchioMkoawaK usininaKivungeMkoawaKaskaziniU nguja.
Hatahivyo, aliwatalawakunganawauguziwasik aevituonikusubiriwananchiwanao fuatahuduma, baliwapitenyumbakwanyumbakutoa elimuyaafya, uzaziwampangopamojanamaradhime ngine.
Katikaziarahiyo, wakunganawauguzihaowalitoazawa dikadhaazakwawatoto, ikiwemobiskuti, maziwa, madaftarinanyenginezo.
“ Kaulimbiuyamwakahuuniwakungahu ongezanjiakatikautoajiwahuduma bora.”
No comments :
Post a Comment