AirFreight

Kwarara Msikitini

Dual Citizenship #2

Dual Citizenship #2

Pemba Paradise

Zanzibar Diaspora

ZanzibarNiKwetuStoreBanner

Mwanakwerekwe shops ad

ZNK Patreon

Scrolling news

************ KARIBUNI..................Contact us for any breaking news or for any information at: znzkwetu@gmail.com. You can also fax us at: 1.801.289.7713......................KARIBUNI

Wednesday, May 2, 2018

Wakunga na Wauguzi Zanzibar Watembelea Kituo cha Watoto Yatima Nyumba ya Serikali Mazizini na Kukabidhi Misaada ya Vyakula leo!


Mwenyekiti wa Jumuiya ya Wakunga na Wauguzi Zanzibar.Bi. Valeria Rashid Haroub akikabidhi Msaada wa Vyakula kwa Afisa wa Ustawi wa Jamii Zanzibar Kitengo cha Watoto Yatima Mazizini Ndg. Juma Makame Kombo,wakati wa hafla ya kukabidhi msaada wa Vyakula na kutoka huduma za kuwapima Afya zao walipowatembelea na kukabidhi msaada huo.





Mwenyekiti wa Jumuiya ya Wakunga na Wauguzi Zanzibar.Bi. Valeria Rashid Haroub akiwa katika picha ya pamoja na Watoto Wanaoishi katika Nyumba ya Watoto Yatima Mazizini Zanzibar baada ya hafla ya kukabidhi msaada wa Vyakula na kuwapima Afya Zao.(Picha na Abdalla Omar Maelezo – Zanzibar).

Na Mwashungi Tahir-Maelezo Zanzibar.
BARAZA la Wakunga na Wauguzi imefanya ziara ya kuwatembelea watoto yatima wanaolelewa katika kituo cha Watoto Mazizini Zanzibar kujua maendeleo yao kiafya pamoja na kutowa huduma mbalimbali za kuchunguza Afya zao.
Aidha, katika ziara hiyo, wauguzi waliwapima afya, uzito ili kufahamu kama wanakabiliwa na maradhi mbalimbali, pamoja na kutoa tiba.
Akizungumza wakati wa ziara hiyo, Mwenyekiti wa baraza hilo Bi.Valeria Rashid Haroub,  alisema ziara hiyo ni miongoni mwa shughuli mbali mbali zinazofanyikakuelekea siku ya wakunga duniani, ambayo itafikia kilele chake Mei 5, 2018.
Amesema watoto ni viumbe wanaohitaji huduma na uangalizi wa mara kwa mara ili kutambua afya zao, akieleza kuwa, hatua ya kuwapima maradhi ikiwemo kisukari na kujua viwango vyao vya damu, inarahisisha kuwaanzishia tiba mapema kabla hali zao hazijawa mbaya.
“Mtoto ni tegemeo la jamii kwa siku za baadae. Anahitaji huduma zote muhimu ikiwemo malazi,elimu, afya na ishe bora kama alivyomalengoyaserikali,”alisemaMwenyekitihuyo.
NaeMsaidizimrajisBaraza la wauguzi Rajab KhamisRajab alisemawatotonimuhimuhivyowanahitajikupewahudumazotezajamii.
AkizungumziamaadhimishoyasikuyaWakunganaWauguzi, Valeria alisemabarazahilolimepangakufanyashughulimbalimbaliikiwemokutembeleamaskulinikwaajiliyakutoaelimukwawanafunzijuuyakujikinganamaradhitafautihasayamripukokatikakipindihichi cha mvua.
Aidha, alisemawamejipangakutoaelimuyauzaziwampangokatikavituombalimbalimijininavijijininakuwashajiishaakinamamakujifunguliahospitaliilikupunguzamatatizoyanayowezakujitokezawakatiwakujifungua.
Serikaliimewekavituovyaafyavinavyotoahudumaza mama namtotokilasehemuilikuwarahisishiauzazisalama,” alisema Valeria.
AlizitajamiongonimwahospitalizitakazotolewahudumahizopamojanaelimukuwaniMakunduchioMkoawaKusininaKivungeMkoawaKaskaziniUnguja.
Hatahivyo, aliwatalawakunganawauguziwasikaevituonikusubiriwananchiwanaofuatahuduma, baliwapitenyumbakwanyumbakutoaelimuyaafya, uzaziwampangopamojanamaradhimengine.
Katikaziarahiyo, wakunganawauguzihaowalitoazawadikadhaazakwawatoto,ikiwemobiskuti, maziwa, madaftarinanyenginezo.
Kaulimbiuyamwakahuuniwakungahuongezanjiakatikautoajiwahuduma bora.”

No comments :

Post a Comment