Mwenyekiti wa Mtandao wa Utetezi wa Vitendo Udhalilishaji Zanzibar Bi. Salma Saadat, akizungumza na Wanaharakati kuhusiana na tukio hilo la kisikitisha la kuokotwa kwa Kijana mwenye ulemavu Abubakari Said Juma akiwa amefariki na kukutwa katika maeneo ya mnarani bubwini, mazungumzo hayo yamefanyika katika Ofisi za Umoja wa Watu Wenye Ulemavu Welesi Zanzibar.
Wanaharakati wakifuatilia mkutano huo wakiwa katika Ofisi za Watu Wenye Ulemavu Welesi Zanzibar kutafakari kifo hicho cha Kijana huyo mwenye ulemavu na mgonjwa wa akili.
No comments :
Post a Comment