dual citizenship

Pemba Paradise

Zanzibar Diaspora

Mwanakwerekwe shops ad

ZanzibarNiKwetuStoreBanner

ZNK Patreon

Scrolling news

************ KARIBUNI..................Contact us for any breaking news or for any information at: znzkwetu@gmail.com. You can also fax us at: 1.801.289.7713......................KARIBUNI

Saturday, September 29, 2018

Watu 380 wafariki katika tetemeko la ardhi!


Watu zaidi ya 380 wamethibitishwa kufa baada ya tsunami kusababisha tetemeko la ardhi lenye ukubwa wa richa 7.5 lilopiga mji wa Indonesia hapo jana.

Upepo mkali ulivuma kutoka Palu katika kisiwa cha Sulewesi kwa mita 3.

Video inayoonekana kwenye mitandao ya kijamii inaonyesha jinsi watu walivyokuwa wakipiga kelele huku wakikimbia kwa hofu.

Baada ya mshtuko wa tetemeko hilo, maelfu walizimia majumbani kwao na wengine wakielekea hospitalini ,hotelini na kwenye maduka makubwa.

Jitihada za uokoaji zinaendelea ingawa zimepata changamoto ya umeme kuwa umekatika.Njia kuu ya Palu imefungwa kutokana na daraja kuu kuanguka pia.

No comments :

Post a Comment