dual citizenship

Pemba Paradise

Zanzibar Diaspora

Mwanakwerekwe shops ad

ZanzibarNiKwetuStoreBanner

ZNK Patreon

Scrolling news

************ KARIBUNI..................Contact us for any breaking news or for any information at: znzkwetu@gmail.com. You can also fax us at: 1.801.289.7713......................KARIBUNI

Tuesday, November 20, 2018

Ret. Major General Issa Suleiman Nassor, Balozi wa Tanzania Misri ahudhuria mkutano wa Mataifa wa BIOANUAI mjini Sharm El Sheikh, Egypt!

Meja Jenerali Issa Suleiman Nassor, Balozi wa Tanzania nchini Misri akiongoza ujumbe wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania katika Mkutano wa Umoja wa Mataifa wa Bioanuai (UN Biodiversity Conference) uliofanyika kuanzia tarehe 13 - 29 Novemba, 2018 mjini Sharm el Sheikh, Misri. Pembeni ya Mhe. Balozi ni Bi. Ester Makwaia, Mkurugenzi wa Mazingira katika Ofisi ya Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania.

No comments :

Post a Comment