dual citizenship

Pemba Paradise

Zanzibar Diaspora

Mwanakwerekwe shops ad

ZanzibarNiKwetuStoreBanner

ZNK Patreon

Scrolling news

************ KARIBUNI..................Contact us for any breaking news or for any information at: znzkwetu@gmail.com. You can also fax us at: 1.801.289.7713......................KARIBUNI

Sunday, November 18, 2018

Wafaransa wamtaka Rais Macron ajiuzulu!


Mwandamanaji mmoja ameripotiwa kuuawa na wengine wengi kujeruhiwa wakati wa maandamano dhidi ya kupanda kwa bei ya mafuta nchini Ufaransa.

Kwa mujibu wa habari,mwandamanaji huyo ameuwa baada ya mwanamke aliyekuwa akiendesha gari kupoteza muongozo baada ya kuzungukwa na waandamanaji katika eneo la Savoy kusinimashariki mwa Ufaransa.

Polisi wamekuwa wakitumia mabomu ya machozi kuwasambaza waandamanaji hao.

Zaidi ya waandamanaji 1000 walikusanyika mbele ya ikulu ya Elysee wakimtaka Rais Emmanuel Macron kujiuzulu.

Watu wengine 38 wametiwa chini ya ulinzi.

No comments :

Post a Comment