Mawakili 50 nchini Tunisia wafahamisha kuwa wanataraji kufikisha malalamiko yoa mahakamani dhidi ya ziara ya mwanamfalme wa Saudia Mohammed bin Salman nchini Tunisia.
Mratibu wa mawakili hao Nizar Boujalal amesema kuwa wanampango wa kufikisha malalamiko yao mahakamani Jumatatu kupinga ziara ya mwanamfalme wa Saudia nchini Saudia.
Mwanamfalme wa Saudia anatarajiwa kufanya ziara yke rasmi nchini Tunisia ifikapo Novemba 26.
Nizar amesema kuwa mwanamfalme wa Saudia anashukiwa kuhusika na kio cha mwanahabari Jamal Khashoggi alieuawa katika ubalozi mgodo wa Saudia mjini Istanbul mwanzoni mwa Oktoba.
Mratibu wa mawakili hao Nizar Boujalal amesema kuwa wanampango wa kufikisha malalamiko yao mahakamani Jumatatu kupinga ziara ya mwanamfalme wa Saudia nchini Saudia.
Mwanamfalme wa Saudia anatarajiwa kufanya ziara yke rasmi nchini Tunisia ifikapo Novemba 26.
Nizar amesema kuwa mwanamfalme wa Saudia anashukiwa kuhusika na kio cha mwanahabari Jamal Khashoggi alieuawa katika ubalozi mgodo wa Saudia mjini Istanbul mwanzoni mwa Oktoba.

No comments :
Post a Comment