Kwarara Msikitini

Dual Citizenship #2

Dual Citizenship #2

Pemba Paradise

Zanzibar Diaspora

ZanzibarNiKwetuStoreBanner

Mwanakwerekwe shops ad

ZNK Patreon

Scrolling news

************ KARIBUNI..................Contact us for any breaking news or for any information at: znzkwetu@gmail.com. You can also fax us at: 1.801.289.7713......................KARIBUNI

Wednesday, December 5, 2018

DAKTARI 'MLEVI' AUA MAMA NA MTOTO WAKATI WA UPASUAJI!

Daktari mmoja katika jimbo la Gujarat nchini India amekamatwa na polisi baada ya kumfanyia upasuaji mama mjamzito akiwa amelewa.

Polisi wamesema kuwa mtoto alifariki punde tu baada ya upasuaji, na mama akafuatia baada ya muda mfupi.

Kipimo cha pumzi ya mdomo baadae kilithibitisha kuwa daktari aliyefanya upasuaji alikuwa amelewa.

Hata hivyo uchunguzi bado unaendelea kubaini chanzo cha vifo hivyo kama ni uzembe ama sababu nyengine za kitabibu.

Daktari PJ Lakhani ni tabibu mwandamizi mwenye uzoefu wa kutosha na amekuwa akihudumu kwenye hospitali ya serikali ya Sonavala kwa miaka 15.

/BBC

No comments :

Post a Comment