Katika maandamano yanayoendelea mjin Paris nchini Ufaransa, Jeshi la Polisi limewakamata waandamanaji 168.
Jeshi la Polisi limelazimika kutumia gesi ya kusababisha kutokwa na machozi kuwasambaratisha kwa mara nyingine waandamanaji waliomiminika mjini Paris.
Idadi ya waandamanji imeonekana kupungua ikilinganishwa na wiki zilizopita.
Maandamnao yamefanyika nchini Ufaransa waandamanaji wakipinga kupanda kwa bei za mafuta na ughali wa maisha.
Waandamanaji walikuwa wakiwarushia askari walinda usalama mawe na vilipuzi huku jeshi la Polisi likijibu kwa kufyatua mabomu ya kusababisha kutokwa na machozi.
Majeruhi walipelekwa katika hospitali zilizokaribu na eneo kulikofanyika maandamano.
Vyombo vya habari nchini humu vimefahamisha kuwa watu 168 ndio waliokamatwa katika maandamano ya Jumamosi na kukumbusha kuwa watu 200 walikamatwa mwishoni mwa wiki iliyopita katika maandamano mjini Paris.
Jeshi la Polisi limelazimika kutumia gesi ya kusababisha kutokwa na machozi kuwasambaratisha kwa mara nyingine waandamanaji waliomiminika mjini Paris.
Idadi ya waandamanji imeonekana kupungua ikilinganishwa na wiki zilizopita.
Maandamnao yamefanyika nchini Ufaransa waandamanaji wakipinga kupanda kwa bei za mafuta na ughali wa maisha.
Waandamanaji walikuwa wakiwarushia askari walinda usalama mawe na vilipuzi huku jeshi la Polisi likijibu kwa kufyatua mabomu ya kusababisha kutokwa na machozi.
Majeruhi walipelekwa katika hospitali zilizokaribu na eneo kulikofanyika maandamano.
Vyombo vya habari nchini humu vimefahamisha kuwa watu 168 ndio waliokamatwa katika maandamano ya Jumamosi na kukumbusha kuwa watu 200 walikamatwa mwishoni mwa wiki iliyopita katika maandamano mjini Paris.

No comments :
Post a Comment