Mahakama Kuu ya Tanzania imehairisha kesi ya Kupinga Muswada, Kesi iliyofunguliwa na viongozi wa kisiasa Zitto Kabwe, Joran Bashange na Salim Bimani kupinga Muswada wa Marekebisho ya Sheria ya Vyama vya Siasa. Ambapo kwa upande wa mahakama imeisukuma kesi hiyo hadi tarehe 11 January mwaka huu 2019 kwaajili ya kusikiliza majibu ya serikali, ambapo hapo awali upande wa serikali waliomba mahakama kujibu baada ya miezi mitatu na mahakama imelikataa shauri hilo kufuatia kuonekana kuwa shauri hilo lina maslahi ya umma.Hili blog ni kuhusu Tanzania na dunia nzima kwa ujumla. Pita kila siku kwa habari moto moto. (This blog is about Tanzania and the world as a whole. Pass-by everyday for breaking news). ***********************KARIBUNI NYOTE / YOU ARE ALL WELCOME!***********************
Subscribe to:
Post Comments
(
Atom
)
No comments :
Post a Comment