Kwarara Msikitini

Dual Citizenship #2

Dual Citizenship #2

Pemba Paradise

Zanzibar Diaspora

ZanzibarNiKwetuStoreBanner

Mwanakwerekwe shops ad

ZNK Patreon

Scrolling news

************ KARIBUNI..................Contact us for any breaking news or for any information at: znzkwetu@gmail.com. You can also fax us at: 1.801.289.7713......................KARIBUNI

Wednesday, March 13, 2019

Marekani kuwaondoa Wanadiplomasia wake Venezuela!

Marekani itawaondoa wafanyakazi wake wote wa ubalozi waliobakia nchini Venezuela. Amesema hayo waziri wa mambo ya nje wa Marekani Mike Pompeo kwa njia ya Twitter.

Waziri Pompeo ameeleza kuwa, Marekani inachukua hatua hiyo kwa sababu hali imezidi kuwa mbaya nchini Venezuela.

Pia amesema uwepo wa wafanyakazi hao wa ubalozi nchini Venezuela unazuia hatua ambazo utawala wa Marekani ungeweza kuchukua juu ya Venezuela.
Rais wa Venezuela Nicolas Maduro alishavunja uhusiano wa kibalozi baina ya nchi yake na Marekani mnamo mwezi wa Januari baada ya Marekani kutangaza hatua ya kumuunga mkono kiongozi wa upinzani nchini Venezuela Juan Guaido.

No comments :

Post a Comment